Wakuu kuna simu yangu imegoma kuwaka baada ya kufanya rooting,ikiwaka aifanyi chochote. niliiroot kwakutumia kingroot,baada ya kuroot nikadownload ifont na kuinstall baada ya kuinstall nakajaribu kutafuta font niipendayo ikaniambia ni reboot ili kubadilisha system font nikaruhusu iriboot baada...
Nilikuwa na Mpenzi ambaye tumekutana katika Somo lakini Mpenzi huyu anakuwa akijishitukia mara kwa mara kwa kuniambia hapendi kuumizwa kwa sababu alishakuwa na mpenzi ambaye alimtenda lakini nimejaribu kuulizia kwa Wenzangu wanao mfahamu wanadai ana ugojwa wa Sickle Cell ndio maana hapendi kuwa...
Habari za Asubuhi wanaJF.nimekuwa katika swali kila siku kwamba Furaha zaidi upatikana ukiwa Singleau ukiwa kwenye inrelationship.Jamani wanaJF Msaada zaidi kwa hili?
Wana JF wa jukwaa la Jokes and Udaku mpo kama mpo soma hapa urifresh you mind.
Siku moja kichaa fulani wa pande za manzese aliamua kufunga safari akaangalie kaburi la Mwalimu Nyerere butiama alipitia njia ya barabara lipitialo Serengeti,alitembea mwendo mrefu hivyo ikambidi apumzike porini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.