kuna waalimu wapya hawajaingia kwny payrol kwa kisingizio hazina kuna ukata. Leo unackia m2 kachota bilioni 200 huku si kuoneana wandugu isitoshe sio mtanzania kweli tumelogwa na aliyetenda ni marehemu cjui 2taponaje
Pole sana ndugu yangu. Tatizo lako lina tiba kwa sababu unasumbuliwa na "JINI MAHABA". Mpe Bwana maisha yako(OKOKA) Kama upo Arusha tarehe 9/11 fika kwny ukumbi wa Safina Redio Mbauda au fuatilia kupitia Safina Redio 92.60 ukiwa Arusha na maeneo jirani na 93.20 Tanga na maeneo jiran. Pia kupitia...
kama mlipuaji alikuwa amevalishwa vazi la polisi inakuwaje alikuwa pamoja na polisi wasimtambue wakat wanapangwa kwa idadi na mkuu wa kikosi anawatambua watu wake. Kama tukio la Morogoro lilipangwa huo wanaemshikilia sio polisi wao. Wanasiasa wanatufanya sisi watoto wakati tumeshakuwaa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.