Ni lazima kieleweke hakuna kulala,wenye magamba wote mnakalibishwa lazima ya vuliwe(njoni kwangu ninyi nyote msumbukao na kuelemewa na mizigo mizito ya dhambi za ufisadi nami nitawapumuzisha.)ila lazima zitolewe kwanza ndipo pumziko linafwata.
Umefika wakati wa viongozi wote wanaoshikilia itikadi za chama tawala kama wasira kukaa pembeni tumewachoka,hongereni wananchi mwendo huohuo msirudi nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.