Me sitasahau siku 1 nikiwa darasa la kwanza nikaamka asubuhi kumuomba hela mshua ili nika2mie xcul, akanitosa siku hiyo, basi nikaweka mgomo wa kwenda shule siku hiyo na nikaanza kumfuatilia kwa nyuma kila mahali alipoenda siku hiyo hadi jioni, aliporudi alinikamata na nikachezea kichapo heavy...
Nimenunua memory card mpya ya ukubwa wa 4 GB but kila nikitaka kuingiza nyimbo kwa kutumia computer inashindikana na napata ujumbe huu, "THE DISK IS WRITE-PROTECTED, REMOVE THE WRITE-PROTECTION OR USE ANOTHER DISK" Je nitawezaje kuondoa hiyo "WRITE-PROTECTION" ili niweze kuingia nyimbo na vi2...
Naomba kujua hawa jamaa wanalipaje kwa Bachelor holder pamoja na marupurupu mengine, pia kama una information zao zaidi unaweza nipa.
Naomba kuwasilisha.
Asante mkuu but wasiwasi wangu ni kuwa inawezekana hawataki kabisa kuona transcripts so once nikaambatanisha vyote viwili (Cheti na transcript) inaweza pelekea maombi kuwekwa kapuni...hebu funguka zaidi hapo mkuu!!
1. kuna post za serikalini kama za Tutorial Assistants vigezo uwe na GPA kuanzia 3.8 so ukiweka cheti 2 cha chuo ambacho kinaonyesha class tu watajuaje kuwa ume-meet vigezo?
2. Kwa mfano nikaambatanisha vyote (Cheti na Transcript) kutakuwa na tatizo kweli hapo wadau...!?
NAOMBA MNIJUZE...
MSAADA:
1. kuna post kama za Tutorial Assistants vigezo uwe na GPA kuanzia 3.8 so ukiweka cheti 2 cha chuo ambacho kinaonyesha class/grade tu watajuaje kuwa ume-meet vigezo?
2. Kwa mfano nikaambatanisha vyote (Cheti na Trancript) kutakuwa na tatizo kweli hapo wadau...!?
NAOMBA MNIJUZE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.