I believe chaddema ni mpango wa MUNGU, na Bwana ndie mchungaji wetu....................hatutaogopa mabaya.........................nami ntakaa nyumbani mwa bwana milele amen.
kufa kwa imam sio mwisho wa ibada. Kuhama kwa huyo sio mwisho wa ukombozi! Ww unafikiri sasa akihama MBOWE au SLAA hatutaendelea na ukombozi? u have pesa! but we have MUNGU.
mtu yeyote anaepinga hoja za hao ndugu zetu cuba ni maccm tu mana Si ndo kombora limewanyookea wao? Poleni sana wanafunzi, ndugu zangu huko cuba na majanga yalopitiliza Lakini nchi yenu inakwenda kupata uhuru 2015. So yatapungua Kama sio kuisha na hata Kama sio kwenu kwa wadogo zenu.
Jamani tusomeni alama za nyakati wanachaddema Huyu! Naamini kila mkutano mmoja wa CCM ni Sawa na kupiga chepe 1 ktk mchakato wa kuzika CCM, nani asiyejua CCM wanajikaanga na mafuta yao? Keep on zimwiwani KIKWETE kada mkubwa wa CCM na mjumbe wa kamati kuu ya CCM
ni Kweli kuna ukakasi mkubwa tu kwa nchi wanachama wa icc Lakini mimi napendekeza kwa nchi km za Kwe2 ni nafuu tu kua mwachama kwa 7bu italeta woga. kt ya Bwana wakubwa na Bwana wadogo.(kina wao na kina sisi)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.