Mwalimu Nyerere Angekuwa hai Leo ninaamini pengine kwa huu utawala uliopo angekuwa ama Gerezani au Ameuawa kabisa kwa risasi au sumu. Kwa sababu katika vitu ambavyo huyu baba yetu alivipigania ktk uhai wake kwa nguvu zake bila utani au uoga ni haki za watu. Hakuwahi kuogopa kumkosoa au kumkemea...
Kuna Mtu wangu wa karibu anafanya biashara Kenya, yeye ni Mtanzania. Anasema kwa sasa hali siyo shwari kabisa, wanafanya biashara kwa wasi wasi mkubwa wakihofia kuvamiwa na Magenge ya Wahuni, hawa inaonekana Kama ni Magenge ya Wahuni lakini ukweli ni kwamba ni watu walioandaliwa kufanya hayo...
Nauliza kwa sababu ktk hii dunia ya sasa watu tumetofautiana sana kiakili. Kati ya watu Weupe na Watu Weusi.
Mfano mzuri ni huu, kwamba, wakati wenzetu wamefikia kiwango cha Kutengeneza vyombo vya kusafiri anga za mbali. Sisi bado hata kutengeneza toothpick hatujaweza.
Wakati wenzet...
Juzi Alhamisi nimeshuhudia mwenyewe. Mwanzoni nilikuwa siamini nikijua ni siasa tu, nikiwa katikati ya Jiji la Kampala wakati wa lunch time ktk mgahawa mmoja nilikutana na Wafanyabiashara watatu Watanzania. Nilikuwa nimekaa meza ya jirani na wao, niliposikia Kiswahili chao fasaha nikagundua hawa...
Kila mwenye Akili timamu na Mzalendo wa Kweli wa Nchi hii analiona na anajua kitakachotokea 2020,Ni ukweli usio na chembe ya Shaka kuwa kwa Sasa hivi CCM inalitegemea Jeshi la Polisi na Tume ya Uchaguzi kufanya Uharamu ili Waweze kutangazwa Kishetani kwamba ni Washindi ktk sanduku la kura...
Tusidanganyane kabisa, Mwanaume yeyote Ana Tabia ya Kukinai. Na ndoa nyingi sana zimevunjika kwa sababu ya wawili kukinai. Hakuna Jambo gumu Kama Mwanaume kufanya mapenzi na Mwanamke mmoja, Awe wa Ndoa au hata Rafiki. Maana inafika mahali mnakuwa Kama kaka na dada.kila Siku kitanda hicho hicho...
Ni ukweli usio na Mashaka kwamba Jamii Forum imekuwa ni msaada mkubwa sana kwa Watawala wa Nchi hii Kuna Wakati J.Kikwete aliwahi kukiri wazi kuwa tumemsaidia sana. Jamii Forum Imesheheni Member wenye kila aina ya ujuzi. Imesaidia kuwaelimisha Watu wengi sana wakiwemo Mawaziri na viongozi...
Kwa sasa Tanzania kila mkoa una vyanzo vingi sana vya mapato, na kila mkoa unaonekana umesheheni kila aina ya utajiri. Swali ni Je tukiamua kila mkoa ukusanye kodi zake na kufanya matumizi yake kwa maendeleo ya Mkoa husika ni nini kitatokea?
Najaribu tu kufikiri, kwa sababu inaonekana Makusanyo...
Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.
Ni...
Kama siyo mbinu ya JPM Kupiga Marufuku mikutano ya kisiasa tangu Alipoingia Madarakani, sasa hivi tungekuwa tunaongea mengine kabisa, Nina Imani hata kitendo cha kuvunja katiba ya Nchi makusudi ni baada ya Kuona CCM ilivyozidiwa ktk Kampeni za Uraisi, 2015. Binafsi Mimi siyo mfuasi wa Chama...
Ikiwa 2019 uchumi wetu umeshuka mpaka 4.1 kutoka 7.1 na hakuna njia au mkakati wowote wa Serikali wa makusudi wa kujikwamua ktk hali hii, basi ni wazi kwamba 2020 kuna hatari ya uchumi kushuka mpaka kufikia 1.1 au ikwa ni 0 kabisa
Miradi yote inayofanywa na Serkali kwa sasa inahitaji pesa na...
Wanajamii naomba kueleweshwa, sasa hivi inaonekana kuna vijana wengi sana ambao tayari wamefikia umri wa kupiga kura
Je, vitambulisho vya wapiga kura wapya vinatolewa lini?
Kwa sababu kama uchaguzi wa Serikali za mitaa ni October na sasa tunaelekea June.
Maana yake tuna miezi mitatu tu ya...
Umaarufu wa Pole pole ulikuja kutokana na umahiri wake kifikra na namna ya ujengaji hoja wake ulivyokuwa makini na ukweli ambao watu wengi sana duniani hupenda kusikia. Hili lilidhihirika wakati wa mchakato wa kuunda katiba mpya na kuanzia hapo ndipo Pole pole alianza kujulikana. Kabla ya hapo...
Nimezunguka sana Nchi nyingi Za Africa , nimegundua kwamba, wanawake wa Malawi na Zambia hawana mvuto kabisa. Hawako romantic kabisa, sijui kwanini. Na sijui ni Mimi tu huwa naionaga hii hali au kuna wengine?
Kwa sasa dunia ya wenzetu iko mbele sana kiteknologia hasa ktk viwanda. Na kila nchi sasa hivi inafanya juu chini kuhakikisha wanauza bidhaa zaidi nje ili kuingiza pesa za kigeni kuliko kununua nje.
Kwa tanzania ni tofauti kabisa, inaonekana viongozi wetu wameishiwa mbinu au wamepitwa na...
Hakuna anayeweza kupinga kwa hoja kwamba kwa sasa ndani ya CCM Tishio namba moja kwa JPM ni Kachero Mbobezi Bernard Kamiliusi Membe.. Huyu mtu Sifa zake Zinakaribia kufanana Sana na za Kikwete.Anaonekana ni mtu mwenye busara na Huruma. Na muonekano wake, anaonekana ni mtu mtulivu sana. Smat...
Binafsi naona watu wanazunguka zunguka sana, ila Rafiki wa kweli ni Yule akwambiayae ukweli ili ujirekebishe na ujiokoe. Kuna watu wamemzunguka JPM wakijifanya marafiki na Wapambe, lakini cha ajabu hawataki kumwambia ukweli. Aidha kwa kumuogopa au kwa unafiki. Kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa...
Hii nafikiri ndiyo Sera na dira ya maendeleo ya Taifa letu tangu alipofariki Baba wa Taifa, na Nina Imani Baba wa Taifa angekuwa hai mpaka Leo, yangeshampata ya kumpata. Kwa Sababu Yule Mzee Alikuwa Haogopi kitu chochote, Mliokuwepo Enzi za utawala wa Mwinyi mnakumbuka alivyomchachafya, Yule...
Ni ukweli usiopingika kuwa Raisi wetu wakati akiwa wizara ya ujenzi alitenda kazi kwa weledi mkubwa na speed ya kiwango ambacho hakijawahi kuonekana ktk wizara nyingine yoyote. Hii ilimjengea kuaminika na kupendwa Sana na Wananchi wengi nikiwepo Mimi binafsi.
Hii sifa ya kuaminika ndiyo...
Wachina wazuri walikuwa wakati ule wa Mao na Nyerere. Wakati huo hali zetu za uchumi zilikuwa zinafanana kwa kiwango kikubwa. Hawa Wachina wa Leo ni Bora Wazungu wa Leo kwa Sababu wazungu wana angalau Roho ya kumwogopa Mungu.
Wachina wa Leo hawana tofauti yoyote na wanyang'anyi. Tena hawana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.