ndugu yangu nimepitapita pale manispaa mchana kati ya saa 7-8 but sijaona chochote kwenye notice board zote za manispaa. hebu kuweni na subira mvute vya heri.
uuuuuuuuuuuwiiiiiiii! mi naamini bado hawajaita kwani kama wameita kinyemela chozi langu litaweza kuilaani tume hii na haitachukua time itavunjwa, ni heri waite wazi nami nisiwepo kuliko kuita secret halafu mi cpo. kitanuka na............ duuh! hebu semeni kweli wameita au tunataniana?
ndugu yangu hebu2ambie hizo nafasi ulizopata za afisa mtendaji ni zipi na za lini ss 2sio na m2 wa kutupigia pande 2nazihitaji. mbona tangazo la kuitwa hatujaliona?:wacko:
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
Kumb. Na EA.7/96/01/B/183 29 Juni, 2012
1
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi ya
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENTS OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref. Na EA.7/96/01/B/182 29
1
th
June, 2012
VACANCIES ANNOUNCEMENT
The Public Service Recruitment Secretariat was established in accordance with section
No.29 (1) of the Public Service...
mi nimenukuu tu. hOtuba ya Mh Hawa Ghasia
"Mheshimiwa Spika, kujenga uwezo wa Sekretarieti za Mikoa ni pamoja
na kuimarisha utendaji wa Maafisa Tarafa. Mkakati uliopo ni
kuhakikisha kuwa Maafisa Tarafa wanapata vitendea kazi hususan
vyombo vya usafiri na ofisi. Aidha, nafasi wazi za Maafisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.