Kwani maana ya shikamoo ni nini?.achilia mbali mke na mume,mimi hata kwa mtoto kumwamkia mkubwa shikamoo pia siielewi,sasa jamani kama kuna mtu anajuwa maana ya shikamoo tafadhari aiweke wazi hapa
Hivi hiyo hadithi umetunaga ama ni habari ambayo ipo kwenye kitabu cha dini ?.na kama ndiyo ni kitabu gani?.nina maana ni cha dini gani kinakataza kuoana dini tofauti?.
Jamani mimi naomba kuuliza,nasikia sehemu ya kigamboni eneo kubwa limenunuliwa na aliye nunua ni rais wa zamani wa marekani yaani george bush,je habari hizi ni za ukweli?
babu ni mjengo wa aina gani huo utakaochukuwa miaka mitano hadi kukamilika,pindi pesa unayo na vifaa vya ujenzi vimejaa madukani?.wewe cha muhimu jikusanye ukiwa tayari kifedha wala haitachukuwa muda huo uliosema kwani pesa unayo,mafundi wapo na vifaa vinapatikana aaaah kama unalia,bongo mambo...
Congratulation our ODM party it is something we have been waiting
for,its time we need a change.even though we are away from our
country our hearts are with you ODM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.