hi guys
mashine hiyo on sale in dar
the car is in good condition and clean interior, car specs are on image 370. it has been used for tours company. price is 12m with room to negotiate, alternatively we can negotiate to exchange with smaller car. please pm me or give me your number I will call...
why pm guys? wekeni mambo hadharani kuna watu wengine pia wanaweza kuwa interested, kindly attach na pics za hiyo kitu plus other specifications. thank yoo
thanks man for response it means a lot,
nina pesa yangu ya pamba natamani kupata 4x4 yenye low consumption and enough space ya kutosha family na mizigo. naomba ushauri jamani
Hi guys
naomba ushauri me navipenda sana hivyo vigari toyota liteace or townace zile ndogo before noah, naomba ubora wake na madhaifu yake na kibongo bongo naweza kupata wapi na kwa kiasi gani.
thanks in advance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.