Search results

  1. V

    Viwanja vya starehe na burudani vilivyovuma sana ila leo havipo tena

    1.Madison Square - Tabata Bima 2.Port Access Bar - External jirani na Radio Tanzania external service Mabibo
  2. V

    Masaada: Kwenye maswala ya internet (IT)

    Unaweza ukafunga Long Range Access point lakini nahisi Kuna uvunjaji wa sheria ndani yake
  3. V

    Huu ni wakati sahihi wa kununua viwanja Dar na kukamata maeneo nje ya mji

    Mpiji Magoe mwisho bei ni kuanzia Million 5 hadi 9 ila ukisogea mbele Km 2 bei za maeneo ni kuanzia 3.5M hadi 6.5M.Hakuna eneo kwa Mpiji Magoe utapata chini ya million 3.5 labda uvuke mto upande wa pili wa mkoa wa pwani uko unapata kuanzia Million 2 na vipo safi ila Kwa Mpiji Magoe eneo la...
  4. V

    Historia ya Wanyakyusa kufahamika zaidi kuliko Wasafwa ambao ni wazawa halisi wa Jiji la Mbeya

    Niliwahi kuishi na Wasafwa 1996 kule Uporoto kwa muda wa mwezi 1 ila nilichojifunza toka kwa Wasafwa kuwa ni watu wapole na wasiojishughulisha na ufuatiliaji wa maisha ya mtu hata kidogo hii ni tofauti kwa Wanyakyusa wao......Ila naikumbuka Igoma,Simambwe,Isyonje,No_1 nk
  5. V

    Huyo unayemwita fundi wako ndiye mtu anayekupiga sana huku ukimchekea

    Kwa wateja wengi uwachukulia mafundi kama watu cheap/wasiojielewa hivyo ni vigumu kwa Fundi anapo quote vitu kama usafiri, labour inayomlipa, nk kuweza kukubalika kwa mteja hivyo fundi uzidisha kiasi cha ela ili kufidia gharama za ziada au dharura yeyote itakayojitokeza katika kazi.
  6. V

    Msaada: HDD data recover

    Habari, Naomba kujua kama kuna mdau/wadau waoweza kufanya physical damage data recover, HITACHI Deskstar 250GB haispin ila nimejaribu kubadilisha circuit nyingine ya Hitachi 250GB version & model namba zina utofauti kidogo imeweza kuzunguka lakini haisomi. Msaada please.
  7. V

    TV yangu haionyeshi rangi vizuri. Mafundi saidieni

    Hizi ndiyo ramli,ikifa back light asingeona hata picha
  8. V

    TV yangu haionyeshi rangi vizuri. Mafundi saidieni

    Hii shida ipo kwenye kampuni zote. Backlight na T-con faults ni janga kwenye technologia ya flat screen ila muhimu ni kuuliza kama kampuni husika ina service center hapa bongo na hakikisha unajaza warranty kadi.
  9. V

    TV yangu haionyeshi rangi vizuri. Mafundi saidieni

    Ukiweka picture au video clip tutajua tatizo ni nini ila vinginevyo ni ramli
  10. V

    Ngoja nikwambie sasa, sisi wahuni wa miaka ya 90 na tulivyo sasa

    Hizo zote za juzi tu mitaa ile,za kitambo ilikuwa ni camp bar pamoja na Madison square pale Tabata bima na hapo Jirani na Mandela ya kitambo ni maruma bar.
  11. V

    Ngoja nikwambie sasa, sisi wahuni wa miaka ya 90 na tulivyo sasa

    Enzi hizo hakuna police post ilikuwa ukizingua unawekwa zone (CCM) na pale CCM kimanga kulikuwa na mbabe mmoja anaitwa Genda kwenye 80's-91 na Twiga namkumbuka golikipa Katuba.
  12. V

    Tuwe wakweli: Ubunge umekuwa rahisi na usiotisha tena. Kuna wa kulaumiwa au kupongezwa?

    Nimechoka kila ninapo pangusa page za Instagram naona watia nia ambao wengi wao wanatia mashaka kama wana uwezo wa kupambanua hoja za msingi katika taifa, upande wa wenzetu upinzani si mbaya kwa watu wao waliojitokeza wengi wao wanao uwezo.
  13. V

    Motor ya 3 phase

    Kuna namna ya ku loop ila capacitor itaitajika,check na fundi wa motor rewinding au mtandaoni utapata maelekezo lakini itategemea na HP ya motor ili iweze ku maintain RPM yake katika single phase.
  14. V

    Ninunue TV gani kati ya TCL na Blackstone?

    Kwa uzoefu wa workshop chukua TCL ipo vizuri kuliko hiyo ambayo inatumia common chip na firmware za kichina. Kuhusu mistari (fault za T-con) lipo kote na ndiyo tatizo kubwa la flat TV haswa za brand kubwa hata kama imetengenezwa Korea.
  15. V

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Hongera kwa TANESCO,eneo ili la Mbezi Mpiji Magohe- Kibesa sasa limepata Nuru ya umeme na Mradi ulianza Novemba 2019 hadi sasa kwenye 80% mmekamilisha project yenu, Asanteni.
  16. V

    Msaada, TV yangu imezima ghafla

    Kama taa nyekundu(standby light) haiwaki embu jaribu mambo yafuatayo: tazama power cable au adapter yako kama imeunganishwa vizuri kwenye switch socket na kama unatumia TV guard jaribu kuichomoa na kuunganisha moja kwa moja kwenye socket ikishindikana chomoa waya ya umeme toka kwenye socket...
  17. V

    Kuvunjika kwa kioo cha Tv. Je, naweza kubadilisha?

    Ushauri wangu kwako ni kununua TV mpya,bei ya kioo kwa sasa hapa TZ unapata TV mpya. Sent using Jamii Forums mobile app
  18. V

    Nahitaji kununua TV ila sijui ipi ni bora zaidi na ni full HD

    Sikushauri kuchukua SONY kwa sasa,hawa jamaa walikuwa vizuri enzi za CRT technology na technology yao ya trinton colours display lkn kwenye hii technologia ya flat TV si wazuri kuna wakati wa LCD,TV zao nyingi sana zilikuwa na matatizo kwenye display haswa kioo kupata fungus na fault za T-con na...
Back
Top Bottom