hivi malkia wa Uwingereza ni kijana? mbona hamsemi kakaa muda mrefu huyo malkia? hivi huyo malkia akianguka mtapiga picha na kizisambaza? huu ni utovu wa nidhamu mkubwa saaana tu kwa aliyepost hizo picha, wenye maamuzi na nchi ya Zimbabwe ni Mugbe na Wazimbabwe tuu.
Umri anao sawa but mwanadamu kuanguka tegemea saa yoyote, I like Mugabe to the extent, Nyie mnao ombea watu waanguke ndo mpate habari basi kuanzia sasa mshindwe kwa jina la langu, Hamna maana kabisaaaaa, nadhani mtakuwa vibaraka tu wa ugaibuni
the best huwa hakubaliki kirahisi, Nyerere was the BEST. na aliitwa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere maana ya mwalimu in English ni teacher, Maana ya professor ni teacher so mwalimu aliitwa professor kwa kiswahili MWALIMU
I am not among them who support Palestines in or by any cost. Please take note on that. My stand till death and return of Jesus is support Israel towards holy land Israel, and Jerusalem holy city. Let the history record my stand
Ni haki ya Israel kutetea Inchi yao kwa Nguvu zote, Mimi nawasupport asilimia mia kwa mia, Hao wakimbizi warudi kwao waitetee inchi yao kama Israel walivyo fanya 1945, HIVI WAAFRICA FIKRA ZETU ZITAKUWA NA KUBADILIKA LINI?
Tanzania, United Republic of
ranking
World Ranksort
descending
University
Presence Rank*
Impact Rank*
Openness Rank*
Excellence Rank*
1
1419
University of Dar Es Salaam
3546
1477
7286
1842...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.