kumbe kuna watu mnaimani hizo.duuh pole we.....tena poleni saaana...unajidai kusema kuwa nitaenda kwa mganga wakati ndo unanishauri niende kwa mganga kwa staili hiyo.....ha ha haaaaa kama huna la kushauri bora ukae kimya tu itakusaidia sana..:shock:
Nilikuwa na rafiki yangu tuliependana sana...alikuwa ni kama ndugu yangu..ghafla alinibadilikia na kuanza kunidharau na hata kunituc..cku ya jana niliamua kumuuliza sababu ya mabadiliko yake hayo,alichonijibu nusura nizirai..alisema kuwa niachane na mchumba angu coz yeye ndo anammiliki na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.