Tunahitaji kizazi cha wasomi kilicho uamishoni kirudi kusaidia nchi zao Afrika.Mashaka we rudi tu na mungu atakubariki sio wewe tu hatana wengine ila sio lazima uwe kwenye siasa ndio usaidie wenzako
Habari za uhakika ni kuwa bado kuna sehemu inashikiliwa na majeshi yanayomtii Bakari na kwenye France 24 wamewaonyesha majamaa wakiapa kuwa watakufa na mtu.Pia kuna habari za kijasusi kuwa Bakari anatoroka na boti na kuna uwezekano kuwa amevaa kama mwanamke ili kukwepa kukamatwa.Kazi ipo na bado...
Waarabu ni wabaguzi kupita kiasi;wanajiona wao ni viumbe muhimu kuliko wote.Hii imetokea baaada ya uvumilivu mkubwa naona waganda wakasema sasa basi liwalo na liwe.
kweli kubwajinga.Kupiga picha tu.Unanikumbusha kisa cha Richmond na mzungu pamoja na biznes kadi yake.Alafu akitambuliwa na hao wazungu then wat?Africans have a long way to go!Duu!
Jamani ni vizuri kuuliza na kufatilia kwa makini haya mambo kabla ya kuyashadadia.Mwaka 2003 kama sikosei kulitokea tetemeko algeria na wanafunzi wote wa kigeni walirudishwa makwao.Watanzania walipotuma taarifa bongo zikatumwa tiketi za wazanzibari tu.Amini usiamini wa visiwani warirudi ila wa...
Shy kwa pumba bwana.Jamaa hajawahi kuandika la maana hata moja.(ukiacha zile anazo copy na ku paste kutoka mitandao mengine)Shy Umaarufu hauji bure kaka/dada.
Napenda kuongezea katika yote mliyosema watanzania waongeze morali ya kusoma vitabu maana wabongo kwa uvivu wa kusoma vitabu nenda hata chuo uone vitabu vinavyoozea library kuna msemo kkuwa ukitaka kuficha pesa mtanzania asione ficha kwenye kitabu itakaa kwa usalama hata miaka 100 ial...
hizi ndio hoja sio kulalamika tu ooh waziri waziri ila naona watu wanachelewa kuchangia hoja hii kwa sababu aliyeanzisha sio member mwenye jina wanasubiri mwanakijiji aandike hata upuuzi wajibu.Big hizi ndio hoja na ntakuja na tathmini yangu jinsi gani mtanzania wa kwaida anvyoweza kujiondoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.