MJOMBA DALILI YA USHEHE SI KILEMBA NI HERI KUJIKWAA MGUU KULIKO ULIMI ,,HATUNA JINSI MAISHA LAZIMA YAENDELEE NI WAJANJA TU HAOOO .... HILO BARAZA HALITUPENDEZI MACHONI WALA MBELE ZA MUNGU,,,,:crazy:
Lowassa alisema hata Mwalimu Julius Nyerere alisema CCM siyo baba yake wala mama yake na kama Watanzania hawapati mabadiliko ndani ya CCM watayatafuta nje ya chama hicho.
Baada ya kutafakari kwa kina nimeamua kuwa kuanzia leo ninaondoka CCM na kuitikia wito wa Ukawa kupitia Chadema...
Lissu: Unajua tulianza kwa kusuasua sana, hatukusikika. Wakati Rais anakuja kulihutubia Bunge kwa mara ya kwanza Novemba 18, 2010, tulisusia pale na hapo ndipo tukatengeneza ufahamu mkubwa kwa Watanzania na wakaanza kutuelewa kwa nguvu na zaidi, hoja ilikuwa kumsusia Rais.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.