Search results

  1. K

    Inawezekana vipi mtu akajiajiri ambapo hajawahi kuuza hata karanga? Serikali acheni porojo, toeni ajira kwa wahitimu

    Well said,kuna kazi kubwa sana kuelimisha vijana wa sasa wengi hawapendi kujituma kimwili na kiakili unaeza shangaa hapo ana smartphone ya laki kadhaa na vocha hakosi!!
  2. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Wakuu hii nyumba bado ipo bei imeshuka mpaka 33M naongeza picha za eneo wanunuzi wa ukweli wani PM.
  3. K

    Mtanzania kwenye Guiness boook of Records

    umri sasa unaweza kujulikana kwa usahihi kwa vipimo hapo kwa mkemia mkuu Oceanroad mbona serengeti boys wanathibitishwa under 17 pale!
  4. K

    Lcd led plasma tv repair services

    Siwezi kujua part no sababu lazima kubomoa TV hiyo itakua kazi yako kama fundi fatilia hiyo model no niliyotoa utapata part no mkuu niko hapahapa Bongo town
  5. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Biashara haijafanyika mkuu endelea na michakato kwa pm
  6. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Business matters mtaji umekata mkuu ukinikopesha 10m kwa resonable interest against this colateral sitauza
  7. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Business matters mtaji umekata mkuu ukinikopesha 10m kwa resonable interest against this colateral sitauza
  8. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    The business is negotiable mkuu
  9. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Ni Squater lkn area nzuri majirani wamepima barabara mbele ya nyumba ukihitaji kiwanja ni 15 to 20m
  10. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Ni metres mkuu
  11. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Pandisha kidogo mkuu tufanye biashara naenda site jioni nitakuletea picha zaidi simtank iko nyumba ya nyuma sio yangu
  12. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Nashukuru kwa ofa mkuu ila bado uko chini km uko Dar kachungulie site utapandisha tu!
  13. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Ukiipenda maelewano yapo hamna udalali mkuu nitaongeza picha baadae ni good neighbourhood
  14. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Hamna dalali
  15. K

    Nyumba Mbezi Tatedo unfinished

    Nyumba kwenye plot 23*25 bedrooms 4 master kubwa ukumbi mkubwa jiko,store dinning inauzwa Mbezi Juu jirani na Tatedo bei 40m mwenye interest ani PM naambatanisha picha
  16. K

    Lcd led plasma tv repair services

    Nina SONY KVL 46W400A mpya imevunjika screen unaweza kunipatia hiyo kitu niambie na bei yako kama unaweza replace hiyo
  17. K

    Wapinga nauli ya treni ya 700 na 800/=

    Tatizo la wabongo hata wangeambiwa nauli 50 wangelalamika na kutaka iwe bure kabisa tumesahau ya pantoni? Mpaka Magufuli kawakomalia tunadhani maendeleo yanaletwa na malaika au ndo iandikwe ndani nauli kwa msaada wa watu wa mare...au jap... Sisi bwana!
Back
Top Bottom