Kwa kweli nchi hii inakwenda kubaya mtu akitoa maoni anaangalia maslhi yake hata wale waliokusanyika pale kujadili mustakabali wa nchi ukiangalia historia yao walikuwa na mgombea wao,mm kama mimi namchukia MAKAMBA
kwa kweli nimesikitishwa na kitendo cha kumshinikiza Zito asigombee uenyekiti huku ni kuinyonga demokrasia.Lakini kikubwa kilichonisikitisha ni kusoma majina ya wale wanaoitwa wazee wa CHADEMA kama nikweli ni hao basi chama kina safari ndefu unless yale majina yawe siyo yenyewe.Ymetajwa majina...
Tatizo la vyama vyetu vya upinzani vinahhirikiana kwa maneno lakini inapofikia kupractice kwa vitendo ni F.Nimekerwa sana na vyama vya upinzani kuwa na mgombea zaidi ya mmoja kama wangeshirikiana wangweza kuiangusha CCM.Naomba waanze kujifunza kutokana na hili la BUSANDA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.