Kunyoa kwapa ni muhimu na ni usafi kwa mwanamke na mwanamme, kwapa zikiwa ndefu hutoka jasho, hasa ukiwa busy huwezi kumbuka kila wakati kutia manukato hivyo bora kunyoa
mkiwa bado wachanga katika ndoa mwaweza kutana hata kila siku, lakini jinsi siku zinavyokwenda mtajikuta mnapunguza kukutana mpaka inaweza pita hata wiki na hatimaye mwezi msikutane. Ndoa inatakiwa ipaliliwe kwa kukutana mara kwa mara ndio ukaribu wenyewe, vinginevyo mnasahalianana hamu inakuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.