FL1 umeleta issue ambayo kwa kweli ipo, hasa kwa miaka hii ambayo ndugu zetu hawa vyuoni wanabuni njia mbadala za kufaulu, maana kusoma siyo option ambayo wangependa kuitumia. Kwa kweli inasikitisha, but the only way we can end this ni kuwa na that kind of professors.
Sawa nitataka anieleze (for the purpose of getting educated), but siwezi endelea kuchovya asali kama tayari jamaa mwingine anachovya. mwache aendelee kuchovyeshana na huyo jamaa
I think pamoja na kuwa watu wana kaimani kuwa wivu kwa mwanamke suna, but wengine (kama huyo) wanapitiliza, kiasi cha kuanya tudhanie kuwa wana'pretend'. You travel on an official trip, then kila saa simu. Hadi inakuchelewesha kumaliza hizo duties. Matokeo yake unachelewa kurudi, to her...
YoYo from what I read in your comments it's like you want to make people believe that NBAA wana idadi au age limit ya watu kuwa CPAs. I'm not personally going to subscribe to that because I have done the exams myself and I had to change my original position on the matter. hata mie nilikuwa na...
Licha ya mapungufu ambayo yanaweza kuwa ya kimfumo [systematic] katika hili, nadhani ni vema pia tuangalie upande wa watahiniwa wenyewe wa mitihani husika. Wengi wa watahiniwa [hasa wa final stage modele E and F] ni wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu. Hawa ni watu ambao wakiwa vyuoni husoma...
Kichankuli naona unapotosha ukweli katika post yako. Mikondo miwili ya ECA pale MTI SAFI haikuanza 2001 kama unavyosema. Sie tumemaliza hapo kabla wewe hujaanza na ilikuwa miwili. In fact sidhani kama iliwahi kuwa mkondo mmoja tangu a-LEVEL ya ECA ilipoanzishwa Umbwe, kwenye mid 1980's. Halafu...
Unamkumbuka Shehe B. Musa?, alikuwa kwenye misosi na Karata. Je Kentigen?, alikuwa mbishi kinoma. Dom 5 lilikuwa linaongoza kwa watu kupenda kula maini [maharagwe ya jana] na uji asubuhi. Yaani ukipiga hayo hata kama bili ya katizi kwa mama msele imeisha huna stori.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.