Suala la ajira kwa vijana ni shida inayotusumbua nchi yetu kwa muda mrefu sasa. Moja ya masuluhisho ambayo yamekuwa yakipendekezwa ni vijana kujiajiri kupitia teknolojia, hasa mifumo ya mawasiliano ya kidigitali, kama mitandao ya kijamii, tovuti, programu, michezo n.k.
Tuangalie kijana ambaye...
Kama tulivyompa nafasi Magufuli, tumpe nafasi Samia. Hata matanga hayajaisha hujaanza kulalama? Huo sio Utanzania. Kama tulivyomkosoa Magufuli alipokosea, Samia nae tutamkosoa, akikosea. Sio kabla.
Unaweza kutuambia ni sheria zipi au vifungu vipi vya katiba ambavyo Tundu Lissu, Mange Kimambi na hao wengine umewataja wamevikiuka paka kuitwa wasaliti? Au ni kwamba Mtanzania yoyote ambaye hakubaliani nawe ni msaliti?
Kwa hiyo tukiuana waafrika kwa waafrika au wazungu kwa wazungu inakuwa sio ukatili?
Na kurekebisha, wapo wazungu waliokufa kwenye mauaji ya Rwanda, kuanzia mapadri paka wanajeshi wa umoja wa mataifa.
Mi naomba nitoe mfano mauaji ya kimbari ya Rwanda. Ingawa yalikuwa ni waafrika kwa waafrika, yalionyesha kuwa tuna uwezo wa kutenda ukatili kama unaotendwa na wazungu.
Sijui nani ni mkatili zaidi, pointi yangu ni kwamba; ukatili hauchagui rangi, kuna watu weusi makatili, kuna watu weupe...
Maelezo yote yaliyopo hapa kuhusiana na mgomo ni ya upande mmoja tu,kabla hamjatoa judgement ni bora mngeongea na pande zote. Maana wote wana mapungufu.
nimekuwa ni ki-browse kutafuta ufumbuzi, maana hata ile ahuweni ya usiku sasa wana-ilimit, kuna hii moja nimesikia inaitwa IPVanish, naombeni mnipe ushauri kama ina faa hapa tanzania.
Pay to get helped with technical issues, research, homework, graphic design, web design. Just click the link https://www.likeplum.com/ask?affiliate=13706
Nilipopost mara ya kwanza kuhusu mcent, wa2 wakasema napoteza muda, lakini Leo wamenitumia bureee 10000 kwenye laini yangu ya tigo jiunge hapa. Wahi sasa!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.