Nakumbuka Gardner alisema amechukua vipimo na vimeonesha kwamba, Binti ni wake. Lkn tangu msiba umetokea Binti is no where to be seen.
Halafu kama utakumbuka Karen alimkataa dadake hadharani kule insta....
Unajua mtoto wa kumjua ukubwani hata ku bond naye inakuwa kazi ngumu.
Huyo Binti Gardner alimpost insta kama miaka 2/3 iliyopita akasema kwamba amefwata na huyo Binti na kudai Gardner ni babake.
Hivyo Gardner aliamua kufanya vipimo na vipimo vilionyesha kweli ni damu yake.
Ila inaonekana Karen hakukubaliana na hilo na hakubaliki ujio wa dadake. Baada ya pale...
Mbona lugha nyingi tu zinabadili matamshi na spelling za majina mkuu
Mfano Kiswahili tu nchi Kama America tunaiita Marekani, Mozambique wenyewe sidhani Kama wanajua nchi yao inaitwa Msumbiji.
Kwenye majina ya watu ndio kabisa kila lugha Ina matamshi na spelling zake.
Moses-musa
Solomon...
Aisee zingekuwa nyingi...
Njoo huku mtaani sasa vijana wanaoana balaa lkn ndoa hazidumu yaani pakishapatikana mtoto mmoja tu ndoa chaliii....ndoa zingine za msimu wa ramadhan, msimu ukiisha tu hamna ndoa.
Ila Kaka zangu wa kiislamu nini shida, yaani kutwa kuoa na kuacha. Sijui tutakuwa na kizazi gani jamani.
Yaani kuanzia manara, masudi kipanya, na huyu maulid daah.ukija kwa diamond ndio hivyo Tena hata kuoa hataki.
Ally kiba naye ndoa imeshamshinda.
Hivi tunawafundisha nini watoto wetu...
Evelyn buku mbona kubwa sana, kuna watu wanafanya biashara faida kwa bidhaa sh. 200. Na mambo yanaenda tu.
Mzunguko ukiwa mkubwa inalipa
Mfano vinywaji vya jumla hakuna faida ya buku. Ni 200,300,500. Ila wanauza mpaka katoni 1000 kwa siku.
Sasa fanya 200*1000.
Mchawi mtaji tu na eneo zuri
Yenu bar ubungo, ilikuwa kituo changu cha kupata chipsi kavu na soda nikiwa narudi home kutoka mizururo ya kariakoo. Kipindi hicho stand ya dala dala Bado ipo pale ubungo maji
Kuna mtu alinikuta nakula akaniambia eti huoni aibu kula hadharani....nikacheka tu.
Yaani ninunue chakula kwa hela tangu halafu nijifiche kisa Kuna mtu kafunga...no way..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.