Wanajamvi. Kwa siku za hivi karibuni nimekuwa mlaji mzuri wa mayai mabichi kiasi kwamba ninakula mayai si chini ya manne [4] kwa siku. Naomba kufahamishwa iwapo kuna madhara yoyote.
Habari zenu wakuu. Kwa muda sasa nimekuwa ''mchunguliaji" kwenye hili jukwaa na sasa nimeona ni muda muafaka wa mimi kuingia humu ndani. Wakuu wote naombeni mnikaribishe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.