Wanajamii forums nimefanikiwa kupata from my reliable sources within UDSM mazungumzo kati ya kiongozi mmoja mwandamizi katika ofisi ya VC na mhadhiri mmoja mwandamizi katika kitengo cha sayansi ya siasa anaeusaka kwa udi na vumba uongozi wa juu ndani UDASA.
Mazungumzo ya vigogo hao wawili pale...
sweetlady
Naona umeungana na shosti wako Smile kunishambulia......Lengo La Thread Hii Ni Kushangaa majamaa desperate wanaotafuta Dada Poa Wakati mm nina wazungusha na kuwapotezea kama mademu sita hivi.....
Helllo My People
Huwa Nashangaa Sana Pale Napoona Wanaume Wanapotafuta Dada Poa Ili Wakajiridhisha na Tamaa Zao Za Kimwili.....hivi ina maana hawana mademu hata wa kusingiziwa ama hawajui kutongoza (Domo Zege).....yaani mademu wote hapa Dar unashindwa hata kuanzisha relationship na mmoja...
Mbona hii issue ya kawaida sana....hapa kazini kuna kina dada na ma anti wameolewa na wako kwenye ndoa zao lakini bado tu wanajigonga sana kwa maba chelor kama mm ila tunawapotezea tu ingawa wapo ambao wanavutia na wamejaaliwa miili ya kufa mtu....lolz
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.