Habar za humu wakuu...naomba msaada kati ya MBA in finance,human resource and marketing ni ipi iko pouwa kwenye ajira na pia mshiko.
mhusika ana advance diploma ya marketing miaka ya nyuma....hapa kati akapata ajira serikalin akasomea post graduate ya banking and finance .sasa anataka masters...
Wana JF, naombeni ushauri kama kuna mtu amewahi kuwa na tatizo kama langu au hospital gani naweza pata tiba.
Nina tatizo la kupiga chafya limenianza around miezi kadhaa sasa naona kama kero na huenda kuna tatizo sehemu.
Nakuwa napiga chafya mfululizo hata kumi kwa wakati mmoja wakati mwingine...
Ni miaka kadhaa siku kama ya leo nderemo za furaha kwa mama na baba mwekundu kumzaa mtto wao kipenz
am happy and u know that mwekundu ,wish u happy bday my love
I always pray all your birthday dreams and wishes come true.
May your birthday be filled with sunshine, smiles, laughter, love...
Nitakuwa na pillow talk hapa MMU
NAFASI YA ELIMU KATIKA MAPENZI
Ni pillow talk tutaenda katika nyanja tofauti
Everyone wellcome and watch
Nitakuwa na kiwatengu
Wanajamvi wapendwa tarehe na mwez siku ya Leo mwakundu aliletwa duniani.
Mungu akuongezee hekima na busara katika maisha yako
Akupe maisha marefu yenye baraka
Karibuni wote team bazaz ni team rafiki kusherekea Tized Kaizer Asprin Mndengereko Valentina Khantwe na mumeo Ntuzu Madam B...
Wanajamvi natumain muu wazima
Uzoefu unaonyesha kuna vitu 12 venye majina mengi sana ya mtaani ambavyo ni
1.mwanamke- manzi, shery, demu, totoz, uzingizi wangu, baby, mchuchu...nk
2. Bangi- ganja, msokoto, rizim, dope, jani ...n.k
3. Tendo la ndoa - kugegeda, kutiana, kazana, lambani...
First polen wenzang ambao hamkuitwa...uuuups its so sad and its like movie you know what watu tulikuwa tunaisubiria kwa hamu ila tumepigwa chini hta kwenye shortlist hatuwepo..
.....is that true somebody kasema watu tulosomea fani ya marketing,education and sociology tumewekwa pending...
hy..am gal of 28 yrs tatizo nimegundulika nina presha ndogo miez sita ilopita B/P 90/50 cku ya kwanza nilipopima bt kila nikipima inazid kushuka mara 70/40,80/50nk juzi nimepima ikawa ndogo hadi dr akataka niwekewe drip Ipande ila nikamwambia hapana cs kitendo cha kuniweka drip ntahis ndo hvyo...
Naombeni msaada juu ya visa USA kwani watu wananiambia ni ngumu kupata nimekwenda ubalozin hawajanipa majibu ya kutosha.mimi nina invitation latter na all cost ntalipiwa na huyo ndugu yang aliyeko kule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.