Kweli hizi siasa zisizokuwa na tija kwa mwendo huu naamin zitafika mwisho na hakika wana karagwe tutamkumbuka Mh Salvatory Kalabamu, na walaaniwe waliomshawishi agombee ubunge na wakaja kumuangusha na kumpa Blandes ambaye amewekwa kwa nguvu za Sir George Kahama mbunge ambaye ameiongoza karagwe...
Hi wana jf,
Mi ni mdada mwenye umri wa miaka 24, dini yangu ni muislam,nimeajiliwa ktk taasisi ya kiserikali,muonekano wangu sio mfupi wala mrefu, mzuri kiasi na rangi yang si mweupe wala mweusi ni natural situmii mkorogogo na napenda maendeleo na napenda kujituma pia.napenda kuishi maisha ya...
1: kujikwaa kwenye kona ya kitanda ktk kidore cha mwisho ukiwa unatoka kulala
2:kujing'ata ulimi wkt unakula
3:kuachwa na mme au mke
4:kujikwaa hadi kucha ing'oke
5:kukataliwa na unayempenda
6:kuchomwa na sindano ya cherehan wkt unashona
7:mme au mke kutoka nje ya ndoa
8:kuingiwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.