Mkuu kwanza nakupongeza sana kwa kupiga mzigo wa ukweli. kwa kipindi kifupi tangu ufike huku tumekuona kuwa wewe ni jembe haswa. lakini cha kinachotusikitisha ni kuwa unatumia cheo chako vibaya. unatumia cheo hicho kuwarubuni watu walio chini yako.-ili kujinufahisha mwenyewe. unatumia cheo hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.