Msaada chief... Nimedownload apk pamoja na file la obb.. Ila nkifanya installation na nakaiweke obb file.. Bado linaomba kudown load tena data.... Fanya kunielekeza niweke wap obb file liwe detected na game
Iraq kulikua na uasi na ndo maana ikapigwa kirahisi kama ilivofanyiwa Libya walitengeneza waasi kwa ili kupunguza umoja na ndo wakampiga kiongozi bora Africa gadafi... Sasa kwa n. K ni nchi ambayo haina uasi so ni nchi yenye mshikamano ......tutaona kma mmarekani ataweza kumtoa kijasho bwana Kim...
Iraq kulikua na uasi na ndo maana ikapigwa kirahisi kama ilivofanyiwa Libya walitengeneza waasi kwa ili kupunguza umoja na ndo wakampiga kiongozi bora Africa gadafi... Sasa kwa n. K ni nchi ambayo haina uasi so ni nchi yenye mshikamano ......tutaona kma mmarekani ataweza kumtoa kijasho bwana Kim...
Nakubaliana na nyie lakini tujue wingi silaha ndio ni njia nzuri ya kuwin vita ila kama unastrategy nzuri za kutumia silaha izo kwa faida.... Marekani alikua na silaha nyingi na nzito ila hakuweza nchi kama Somalia na vetinam..... So tusubir tuone na Ana mbinu bora za kivita.
Genetically binadamu wote tuna genes zilizo sawa kwa uwiano...tofauti inakuja katka tabia ya genes husika..mfano genes za upara wote tunazo ila kwa mwanaume zinakua ni dominant genes ambazo zinaonekana kwa urahisi ila kwa mwanamke zinakua recessive genes ambazo zinakua hazina nguvu kuonesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.