Sio lazima utumie ugali kama chakula na pia ukumbuke kuwa wakulima walipokuwa wanapata hasara hakuna aliyewasemea hivyo ni wakati mzuri wa wakulima kurudisha kilichopotea
Biashara ya export inalipa maana ukiwaona wanunuzi wa avocado wanaponunua njombe mpaka wanagombana hasa ulaya product zikiisha. Hivyo tunapaswa kufuatilia kwa makini ili tujue zinaendaje tuache uoga.
Pia kama una mtaji mkubwa unaweza kucheza zile above 0.5 goals zina uhakika zaidi kupata Pesa kama unaamini goal moja litapatikana full time niliweka 50000 nikapata 150000
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila pale nilishinda mechi 12 kata ya 13 ila hakuna system inayokupa taarifa kuwa kiasi hicho mmeshinda wengi oli mgawane ile pesa, swali langu je kama wamekudhulumu unawezaje kujua?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi unajuaje kuwa mmeshinda wengi kwenye jackpot ya mkeka bet nje ya gawio unalopewa, nilishinda M 5 nikapewa 1.25M
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.