Kwakweli hii sijaipenda, hata kama mimi si muslim, hii naona kama ni kauli ya kichochezi, nasikiaga wanasiasa wakisema! na nadhani hii ni moja wapo! na kama wewe uliyeandika nawe si mwislim, basi utakuwa mpagani, maana katika Maandiko nayoyajua mimi, sijui wapi inakuruhusu, kumwona jirani yako...
Watu wengine wana magonjwa ya akili sijui? Wewe unashindwaje kuona logic iliyopo hapo? inamaana hulipagi kodi au? Yaani hata huna uchungu na jasho lako? au wewe nawe ndo wale wale? Ama kweli mtii huu una mizizi mikuu na matawi yamekuwa mengi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.