Search results

  1. K

    Mshauri wa kodi na mahesabu hapa Dar

    kama unahitaji mshauri wa kodi na mahesabu wasiliana na 0713224913
  2. K

    BoT na noti mpya 2009

    Mi naona ni wizi mtupu.Kama mafisadi walichota mabilion je wataweza kutumia njia hiyo hiyo (collusion with the banks) kubadilisha fmabilion hayo.Hiyo inaweza kuwa deal nyingine benki kuu.
  3. K

    Haya hii ni Kwa Wadada-TV coming between my husband and me

    I think you need to know your patner's interest and accomodate yourself accordingly.
  4. K

    JK angepewa Nchi mwaka 1995 tungekuwa wapi?

    Nchi sasa ni uozo mtupu hakuna hata cha kujivunia .Angalia hata tunashindwa kuendesha bandari kwa ufanisi na matokeo yake waagizaji mali toka nje ya nchi wanaamua kutumia bandari za nchi jirani.Nchi inakosa sio mapato hata sifa za kufanya biashara .Tunahitaji Rais na viongozi walio serious na...
  5. K

    Ewura cuts fuel prices by 27%

    Leo Dar bado bei hazijashuka kazi kwa Ewura
  6. K

    Uganda: MPs to be penalized for habitual absentism from Parliament

    there is a need to to put a clause in the constitution that those who cannot attend sessions as required should cease to be MPs.It is like admitting a ollege student who later on does not attend class sessions.He is likely to fail.Such MPs are failing their constituencies.
  7. K

    Kagoda Agriculture Ltd: Another BOT scandal

    Serikali itoke usingizini wapo wafanyakazi wa serikali wakiwemo wa benki kuu wana miliki mali kuliko wafanyabiashara na mishahhara yao inajulikana.Je na hii tunasubiri uchunguzi wa makampuni ya nje?.
  8. K

    Jeetu Patel karudi...

    Huyo mhindi hayuko peke yako wote waliofacilitate wizi huo wote wakamatwe bila kujali nyazifa zao wapelekwe mahakamani na mali zao zote zifilisiwe .Hii itakuwa fundisho kwa wengine.
Back
Top Bottom