unasema aula maana yake nini?? Ina maana huko ni kwenda kula vya denzo???? Hebu uwe maini na maneno kama hayo, kumbuka mwalimu alishakataa kukimbilia ikulu.........................
kalikenye
Hata kama walikuwa hajavaa sare, je polisi wamefundishwa kuua?? Mahakama zipo kwa ajili gani??? uwe unaupeo wa mambo unapo andika vitu kama hivi
Hivi nafanyeje kubadilisha chuo kama TCU wamenichagulia chuo ambacho mimi sijakipenda?? Naombeni msaada maaana nimepata Bagamoyo University, ada yao ni kubwa sana, nataka sasa niweze kuhama.
Pande za huku morogoro manispaa umekatika jana saa moja jioni na kurudi saaa tano usiku, basi hii ilikuwa nchi nzima. Hebu watupashe ni mgao au kulikuwa na tatizo la kufundi kama sio ugaidi??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.