Mtu unapaswa kwanza kujiuliza upako ni nini?
Je kuna mifano ya upako wa aina hizo mbili katika Biblia?
Kama hakuna achana na hayo mafundisho.
Kwa ufupi ni kuwa upako ni tendo lilotumika katka Agano la kale kwa wafalme, nabii na kuhani. Ilikuwa ni ishara ya nguvu katika huduma zao.
Katika...
Nijuavyo ukaguzi hauwezi kufanyika bla Mkaguzi kuuliza mhisika mambo ambayo yanamtatiza. Ilikuaje wasimweleze CAG kabla ya kuchapisha taarifa? Kuna kitu hapa.
Hadith za kipagan na Biblia zote ni real kwa maana yà kuwepo kwake. Moja ni distorted truth na nyingine ni truth.
Kumbuka tangu anguko LA Adam kumekuwa na oral narratives ambazo toka kizazi kimoja hata kingine kwa ajili ya uovu na kumkana Mungu wakapindisha ukweli.
Biblia ni God's revelation...
Siasa inahusu maisha ya watu wa aina zote ila uongozi wa siasa ni wa chache. Kutenga jamii Fulani isiguse masuala ya maisha yao ni kuweka rehani maishà yao ktk mikono isiyo salama.
Makundi yote lazima yashiriki maamuzi ya nini hatma ya maisha yao.
Sikiliza bwana nikueleze.
1. Kama ni kanisa la kweli (mostly pentecostal classics) ni nadra kujuta mkeo akijiunga nao.
2. Fanya utafiti uwajue vizuri usiseme makanisa ya kiroho. Mfano ujue wanachoamini (tenent of faith) mara nyingi iko ktk katiba zao. Angalia makanisa hayo yameneaje nchini na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.