Gazeti la Uhuru linaendelea hivi
Wanaotumia fedha za umma kulipia pongo. "licha ya kwamba za Dar es salaam na kwengineko nchini hazina hadhi ya kulinda haki ya mtu kuishi katika mazingira safi salama, si halali kisheria kwa mwenye nyumba kutoza kodi kwa kipindi zaidi ya mwezi mmoja kwa mara...
Rose akikagua vyitu vyake vilivyotupwa nje na mwenye nyumba wake
Kijana huyu anakagua kama CD zote vipo. Sipati picha kama ingekuwa Kinondoni ingekuwaje, hata sisi tusingeweza kupiga picha maana pasinge kuwa na vitu
Hili ndilo Kanisa lililo pangishwa, wenyewe wanajiita the Mega Church...
Mwanafunzi wa chuo cha IFM Beatrice Lukindo jana aliibuka mshindi wa Miss Higher Learning katika shindano lililofanyika katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam, jumla ya warembo kumi na moja walishiriki katika kinyanganyilo hicho.
Beatrice Lukindo mwanafunzi wa Chuo Usimamizi wa Fedha...
Inasikitisha kuona gazeti kama Uwazi linachapia pale wanapotoa picha ya Randy Jackson wa American Idols kudhani kuwa ni Randy Jackson mdogo wake hayati Michael Jackson. Randy Jackson wa American Idols mara nyingi alikuwa anasema kuwa yeye ahusiani na Michael Jackson ni majina tu yamefanana, pia...
Moja ya mansion (hii ya kulia) hapa linapangishwa ni full furnished house (furniture babkubwa), swimming pool, air conditioned, ample parking space kama unavyoona and an automatic stand by generator. Nyumba ipo maeneo ya Mikocheni. Kodi kwa mwezi ni $ 4,500 (annual payment inadvance). Kwa...
Juzi wazee wa masauti walipiga burudani ya kufa mtu huko Ukonga Banana katika ukumbi wa "Wenge Garden Hall". Mcheza shoo wa Akudo akijituma vilivyo ili akonge nyoyo za mashabiki wake.
Ilibidi shabiki mmoja kwakukunwa na mcheza shoo huyu amtuze ipasavyo.
Kwa picha zaidi nenda; Pwani...
Jamani kuanzi tarehe moja mwezi ujao, mtu yeyote yule ambaye atataka kumlipa mwenzake kiasi cha fedha cha zaidi ya milioni kumi (10,000,000) kwa kutumia cheki ya benki moja ili mlipwaji a-depositi benki nyengine (benki yake), haitawezekana tena.
Mfano mwengine ni huu; Yani kama unamdai mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.