Jumatatu iliyopita ila mauwaji yalifanywa tangu December, marehemu walidhani amepotea baada ya kumtafuta kila kona ikabidi wambane mganga maana ndio aliyeyoka naye nyumbani kwake. Jumatatu ndio kafunguka na kuelekeza alipouawa.
Hilo si kweli, Kilichomfanya Arstrong awe kimya ni sababu alijua fika kuwa hakufika mwezini. Basi mtu ajaribu Saudia kubadili dini kule ndio kuna haki nadhani watashangilia kabisa.
Unakosea unaposema kuwa Dr Slaa hatakuwa the sixth president; kwanza ulitakiwa kusema fifth president maana kikwete kuwa rais awamu ya pili hakumaanishi kuwa yeye ni fifth president saa hii, anabakia kuwa the fourth president, pili wewe sio mawazo ya watanzania wote.
What you need to do is sit...
Accountability hakuna, kunatakiwa katika uendeshaji wa serikali kuwe na tradition ya consequence management. Jambo lenye uzito kama huu likitokea, mbali na kushughulikia maafa, pia kutafyutwe kiini cha uzembe au mapungufu na wahusika washughulikiwe. Kama hivyo ndivyo utakuwa utaratibu, basi...
Mimi naona vyama vyengine vingeendelea na mdahalo kama mwandishi alivyosema (mleta hoja). Kama vyama vyengine havitaki si lazima. Na kama hakuta kuwa na mdahalo wa kitaifa utakao andaliwa na vyama vilivyobaki basi hivyo vyama vitakuwa ni wasindikizaji na havistahili kushinda kwa kukosa ubunifu...
Vipi baba mbona sikuelewi, sasa balance yako ya NSSF itakuwaje confidencial kwa mwajiri wako wakati yeye ndiye anayepeleka hiyo michango huko NSSF. Na kama mwajiri wako ana rekodi nzuri anaweza kujua balance yako hata bila ya kuletewa hiyo statement.
Mimi hucheki balance yangu ya NSSF kutoka...
Yani this is very sad, wewe uliyeandika hii post unafurahia kuwa amechoka, is this fair? Why are we being hypocrites? vita dhidi ya ufisadi itaisha kwa this style of thinking? what message are you sending to Tanzanian?
hata mimi pia hapa nimeshindwa kuvumilia, hivi mtu kufanya uchambuzi mpaka awe na cv? What are we trying to create here. Do you mean to say those who dont have a good education background cannot make sound decision and analysis?
Hebu tuwaangalie hao maprofesor wetu, mbona basi hawawezi hata...
Kuna vichwa gani hapo UDSM? wamegundua nini? what have they invented? what have they contributed towards technology in this world? wachana na hizi faculty za blah blah I mean contribution kwenye fani za engineering, computer science, medicine etc where results are tangible. What I see is...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.