Dawa pekee kwa waathirika wa ukimwi ni hivi vitu vitatu..UPENDO,UWEPO NA HESHIMA dawa za ARV Na mambo ya lishe ni ziada tu maana havileti furaha ya kweli kwa waathirika
Fernando lugo a roman catholic bishop who was a president of uruguay now compare tz and uruguay dont be a fool mr.Kichwa mbovu dini is nothing in leadership
Kuna nchi kama sierra leone ina muslim majority lakini its one of the most religious torelant nation na ikiwa na rais mkristo so why do muslims have to complain always mbona huko wakristo hawalalami afu isitoshe dini zenYEWE ZA KULETEWA
Lakini zanzibar si sehemu ya tanzania sasa inakuwaje mseme watu wa bara wamepandikizwa na nani kakuambia malaya ni wakristo tu au ndo dhihaka zenyewe hizo.
Watu tumewakilisha nyinyiM WASHAJUA MWISHO WAO NDO MAANA NAPE ANAJIHAMI KWA KUSEMA HATA HAKIBAKI PEKE YAKE NYINYIM HAIFI...,mbali na yote tumetisha pale CHADEMA SQUAQE.Big up kwa makamanda wapya afu namaliza kwa kusema PEOPLESSS POWERRR-Tumetishaje CCM KWISHAAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.