Search results

  1. M

    "Waziri kaniambukiza miwaya!!!"...Mwananafunzi wa chuo kikuu ajuta!

    Dawa pekee kwa waathirika wa ukimwi ni hivi vitu vitatu..UPENDO,UWEPO NA HESHIMA dawa za ARV Na mambo ya lishe ni ziada tu maana havileti furaha ya kweli kwa waathirika
  2. M

    Udini na mustakabali wa Taifa

    Fernando lugo a roman catholic bishop who was a president of uruguay now compare tz and uruguay dont be a fool mr.Kichwa mbovu dini is nothing in leadership
  3. M

    Sheikh Ponda yuko sahihi

    Kuna nchi kama sierra leone ina muslim majority lakini its one of the most religious torelant nation na ikiwa na rais mkristo so why do muslims have to complain always mbona huko wakristo hawalalami afu isitoshe dini zenYEWE ZA KULETEWA
  4. M

    Naibu amiri wa jumuiya ya uamsho awasili Zanzibar akitokea Oman

    Lakini zanzibar si sehemu ya tanzania sasa inakuwaje mseme watu wa bara wamepandikizwa na nani kakuambia malaya ni wakristo tu au ndo dhihaka zenyewe hizo.
  5. M

    Faculty ya Actuarial sciences

    Insurance and risk management so ni industry ya mambo ya bima
  6. M

    Mwenyekiti Wa Ukombozi Na Ufahari!

    Wakati wa gandhi na che guevara vx na v8 hazikuwepo pili hata wewe waweza kununua na kutumia sema sio kwa kodi zetu bali kwa pesa zako mwenyewe
  7. M

    Si Jangwani tena, ni CHADEMA square!

    Watu tumewakilisha nyinyiM WASHAJUA MWISHO WAO NDO MAANA NAPE ANAJIHAMI KWA KUSEMA HATA HAKIBAKI PEKE YAKE NYINYIM HAIFI...,mbali na yote tumetisha pale CHADEMA SQUAQE.Big up kwa makamanda wapya afu namaliza kwa kusema PEOPLESSS POWERRR-Tumetishaje CCM KWISHAAA
  8. M

    Nani Mbunge bora kuliko wote Tanzania. Piga kura yako hapa.

    Mie naona wote ovyo sema kidogo nampa john pombe na tundu lisu
  9. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hyo nafasi yetu mechi ya mwisho lazima tutashinda
Back
Top Bottom