Kama mwazoni kuhusu kuvunja tume baada ya kumaliza kazi yake mliwasilisha kimaelezo na kusign, mbon kuhusu kuiruhusu iendelee kuwepo hamjatoa maelezo maoema na kusign documents? Nyie CUF wahuni, anachozungumzia lukuvi ni written document mlio itoa wenyewe, sasa now mnaleta maneno na siasa tena...
Ndugu watanzania me nahisi tumefikia mahali kila mtu imani imemtoka, yan kila mtu anaamin mtu kua madarakani ni kwenda kuiba au kujitajirisha, hii dhana kwa watanzania jamani ni potofu, japo dalili zimeonekana sana kwa baadhi walio madarakani hasa hadi kupelekea baraza la mawaziri kuvulugwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.