Sikubaliani na kauli hiyo kwamba walipa kodi hawazidi mil. 4. Watanzania wote wanalipa kodi sema wanaoikusanya na kuipeleka serikalini wanaweza kuwa hao mil4
Yaani unajikanganya mwenyewe (contradict) Una watoto wanane kwa heka mbili, watagawana robo robo nk maana yake utawaachia eneo dogo nao wataendelea kurithishana hilo hilo!
Halafu unazungumzia wazungu kuhamia Afrika kwa kuwa ndipo kwenye nafasi.
Kwa nini hao wa kwako wasichukue hilo eneo ambalo...
Halafu unajua matatizo wanayopata ya kupungua kwa population na sasa wanatafuta namna ya kuiongeza? Kuna clip kwenye thread hii hii- the decline of fertility rate in Europe.
China wameacha sera yao ya kuza mtoto mmoja - una habarizhizo? KALAGABAHO
Hapo tatizo ni la wanaozaa au
Hapo tatizo ni la wanaozaa au la viongozi? Lowasa aliona tatizo katika elimu ndipo akaazisha shule za kata, tena tangu mwanzo aliwaza zitoe elimu ya ufundi. Kama asingekomalia hilo leo watoto wangapi wangekuwa hawana elimu ya sekondari, wangeishia darasa la saba na...
kwani haiwezekani? With commited leadership yanawezekana. Tafuta clip ya Lowassa aliyozungumzia kuanzishwa kwa sekondari za kata. Kama zisingeanzishwa wakati huo sasa tungekuwa wapi?
wakati huo huo mnapounganisha nchi za Afrika mashariki mnasema mnapanua soko kwa kuwa nchi hizo zina idadi ya watu kadhaa (wengi). Maana yake wingi wa watu ndio ukubwa wa soko, sasa unapotaka kuwapunguza! Contradiction
Extrovert uko sahihi kabisa
Bima maana yke unalipia in advance ili utakapougua utibiwe, sasa wanapoanza kulazimisha eti unapougua uwe na hela,JE KUNA MTU ANAJUA ATAUGUA LINI NA UGONJWA GANI?
Halafu Bunge linapitisha?
Sawa kabisa, si unajua wao hawaugui malaria na hata wakiiugua wanamudu tiba yake. Ndiyo maana dawa za magonjwa ya matajiri wamezibakiza, halafu eti bima ya afya kwa wote. Waseme bima ya afya kwa matajiri, maskini hana bima.
Tatizo la kupungua halikuja naturally, ni mipango yao ya kupunguza uzazi, Kuwafunga kizazi watu wao, walifanya hivyo si kwa wanawake tu hata kwa wanaume (walifanywa mahanithi). Si kuwafunga tu, bali hata kushadadia ndoa za jinsia moja ni sehemu ya kupunguza uzazi. Leo wanahangaika. Tukikubali...
Hawa wazungu ni wanafiki. Kwao kupungua kwa uzazi limeshakuwa tatizo kubwa sasa wanafikiria kuongeza vivutio ili akina mama wazae zaidi - lakini sheria zao zinawaumiza maana mama ndiye ana uamuzi wa kuzaa au la , azae wangapi na lini nk.
Sikiliza kipindi hiki cha BBC February 22, 2024...
Dodoma ni mji wa kiserikali si mji wa kibiashara. Ukitaka biashara nenda Dar. Kunawakati eti Dodoma ilikusanya kodi kubwa kuliko dsm, dsm wakalumiwa kwa uzembe. Mimi nilisema hili tukio la uda mfupi tu soon dar itarejea kwnye sehemu yake.
Kwa waliokwenda dodoma kufanya biashara walipaswa kujua...
Mimi naona polisi walipoacha kukimbizana na Bodabona ajali zilipungua. Naungana na hoja kuwa wapewe elimu ya usalama barabarani lakini wasifuatwe ovyo ovyo labda kwa makosa ya wazi kabisa kwa mfano mtu anabeba mbao zenye urefu wa futi 12, maana yake wakati wote yyuko anasababisha ajali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.