Haya mambo kweli yapo na hakuna dawa Kali yenye uwezo Wa kupambana na uchawi isiyochanganywa na kiungo..na kiungo sii lazima kipatikane kwa MTU aliye hai.hapana hata kwa maiti kama Kule mochuar watu wanaenda kununua..kiukweli dunia hii INA siri kubwa
sana ikiwekwa wazi kila MTU ataogopa
Kiukweli mwangili upo juu kwa sababu umeamua kuwa mbunifu hata mimi mwanzo wakati najifunza nilofokiri niwe mtu wa kurepeir lakini nilifikiri nikaona niwe.mtuu wa kuunda..
Vifaa..nikaanza kujifunza vitu muhimu..mpaka sada naweza kuunda vitu kadhaa..lakini kiukwwli kubuni mwenyewe siwezi...
mkuuu rakim hata kama mkuu pasco. Mimi bwana sasa nimerudi kijijini lango ni kuja kutambika kidogo.. Lakinai nikiwa huku kijijini nimeota nipo chooni,si unajua choo cha bush tundu la choo hapohapo na hilo ndio septic tank...... lakini gafla sijui kilichotokea nikajikuta shimo la choo lipo wazi...
Leo kwenye kipindi cha teknoleo kinachorushwa na tbc walikuwa na jamaa waliotengeneza sola panel kwa kutumia mkaa na inafanya kazi.
kama kuna anaefahamu kuhusu hilo tusaidiane hapa.
Wewe hujajua heshima ya mtu kuwa kwake kwa sisi wachaga heshima nyumba..bwana.. Mimi huku pori nimeangusha kitu.. Na pale kijijini naenda kuweka jengo..hiyo ndio heshima..na usiseme ml14 mtu atajenga nyumba ya aina gani..kumbuka mitindo ya ujenzi ipo mingi..
nimekuelekeza hapo juu .ukitaka amos5 17 lazima ugeuze dish na ukigeuza utakosa local chanel kama za ipp nk kwa sababu amos 5 local zilizopo free ni tbc,ch10.,kwanzatv, na zingine nyingi ambazo sio za hapa nchini......jibu la swali lako la pili... Ndio dishi la zuku linafaa kukamata amos5 17degree
Hayo mahesabu magumu kweli.. Mimi nilifundiswa na jamaa kufuma ila hakuna hesabu wala nini ni makadirio tuu. Tena kwa transifomer zingine. Kama za stabraiza nk tunaifumua tunaianza..tunapiga mf. Primary tuns 600..na sekondary tunakadiria mpaka yunapata volt tulizokuwa tunataka. Kama ni...
kwa maelezo yako wewe umefikiri dish linabaki pale 64e jibu ni hapana ukishaamua kutafuta hizi nyuzi 20,17 na 16 lazima dish ulilokuwa unapata local chanel uligeuze au uongeze dish lingine na ugeuzie huku zinapopatikana zuku,azam nk.
Kwanza ni kuitafuta amos17 kwa signal kubwa kabisa.baada ya hapo clockwise lnb yakotaratibu utaipata freq 10804/30000.. Mimi natumia dish ft6 na ku ya kawaida mimetega 20e,17e,16e kwa dish hilo moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.