No Research No right to Speak!! Sasa tukiwa tunapeana habari za Nasikia ...... Nasikia !!! Hii Forum itaonekana ya Wababaishaji bure!!
Pata uhakika, Pata Data tumbukiza humu kuwajuva wengine.
Hallow am experienced Web/Graphic designer.
Please contact me on piusmicky@yahoo.co.uk or text me +60176452510
We can discuss more
Pius
Director
P-Informatics (T) Ltd and P-Informatics Sdn. Bhd
Nilishangaa nilipowekewa pesa kwenye CRDB Account na mi nizichukue huku (MAlaysia)
Nikajua kahela kenyewe ka ngama nakuwa naenda ATM kila ninapohitaji, zikatoka poa tuu baada ya kutoa mara mbili tatu naambiwa BAlance haitoshi mhhh nikashtuka
Kuuliza nikaambiwa gharama ya kutumia hii card inakata...
Sasa hapo ndipo maswali yanapokuja, simtetei Safari ila najaribu kufikira Je CUF hakuna wengine wa kuongoza hili JAhazi zaidi ya LIPUMBA NA SEIF? nafikiri kimsingi watu wameshajaribu kugombea zaidi ya mara 2 hata kama kura ziliibwa nafikiri ingeleta chachu kama wangewapisha watu wengine nao...
Ndio maana nilidhani labda huyu angewezakuleta kaupinzani kidogo na kwa uzito alionao na kwa jinsi alivyojitolea kwenye chama kwa mtaji huu basi Maalim Seif na Lipumba watatawala mpaka ....
Napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza Viongozi wa CUF Maalim Seif na Ibrahim Lipumba kwa ushindi wao wa kishindo katika uchaguzi uliopita majuzi ndani ya chama hico.
Binafsi nimeshtushwa na ushindi huo si kwamba nilitazamia waangushwe la hasha kwani kushinda kwa asilimia 98.6 kwa Lipumba na...
Sidhani kama kuna haja ya kuficha jina kwenye hili kwani nadhani hapa ndio umoja na auti ya wengi itasikika niambie kama nia ni kukusanya sahihi 100,000 kweli wataanza kuangalia Mwanakijiji ni nani na yuko wapi na anafanya nini?
Sidhani sema la msingi ni hakikisho kuwa hazitatumika kinyume na...
Yanga bwana!!! Ama kweli pashoka hapaingii kisu!!
Kazi huko Msimboazi wallah kama mi Dalali leo naenda kulala Yautooo Guest maana wanaweza mchomea ndani wallah!!
Wakati mwingine inategemeana na Coding zilizotumika kwenye site husika, hii Google imeundwa na mechanism ambayo inatambua baadhi ya "CODE" kama kirusi na hii inawekwa ili kuzuia kirusi cha aina yeyote na utaona kama ukitumia Yahoo inakubali
Hawa wenye brouser au Database yao inazitambua hizo...
BAE corruption investigation switches to Tanzania
· Focus on £28m radar deal with East African state
· SFO's new director due to take over this month
* David Leigh and Rob Evans
* The Guardian,
* Saturday April 12 2008
* Article history
About this article
Close...
Wakati mwingine unaweza kudhani unajisafisha kumbe ndio unajipaka kinyesi maana kwenye kujibu shutuma usipokuwa na busara za ziada utabaki kupayuka unawapa watu cha kusema!!
Spika wa Bunge la Jamhuri Mh Samuel Sitta amedai kuchafuliwa jina kisiasa na kudai kuwa kwa sasa amejidhatiti kukabiliana na watu hao.
"Ninalo ombi moja kwa hawa ndugu zangu, waache kuichafua familia yangu, kama kuna mtu aliyewaudhi ni mimi, na ninao uwezo wa kujibu mashambulizi...
Niliona kama Lecturer wangu ananikosea pale alipoongelea suala la Mauaji ya Albino na imani za uchawi na darasa zima kucheka, nilijisikia vibaya lakini sikuwa na budi ya kukaa kimya na Lecture ilipokwisha ilinilazimu kujibu maswali ya wanafunzi wenzangu wadadisi....
Leo naiona tena ndani ya...
I suspect ulikuwa una skive darasa la Economics. Balozi yuko right 100 % and if you need to know why niulize nikupe somo
Mheshimiwa sana si unijubu kwa hoja inawezekana kwenye Sekta ya Uchumi unaona zaidi ya upeo wa Macho yangu!! Mi tangu nianze ni "Zeros and Ones" tuu sasa nielimishe kwa...
I use to Trust Lusekelo sana na kwangu ni mmoja wa watu ambao nilikuwa napenda kusoma makala zao.
But i think on this one, Mr Lusekelo alitakiwa ku control Temper yake!!! Naona aliandika kwa ghadhabu either kuna kilichomtokea au kuna namna. Binafsi nashawishiki hata kudhani labda hii makala...
BALOZI wa Uholanzi nchini, Bw. Karel van Kesteren, amewataka Watanzania kuachana na dhana kwamba watachimba utajiri kutoka ardhini kupitia sekta ya madini.
Akizungumza kwenye ufunguzi wa kongamano la mwaka la wasomi na watafiti nchini lililoandaliwa na Taasisi ya Utafiti na Tathmini ya Sera...
Sasa si usome habari yote ndio uchangie!! kwani ni lazima kuchangia angalia ni wangapi wame view na kuenda zao!? kuna tofauti ya kusimamishwa na kufukuzwa!! Acha kudandia gari kwa mbele!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.