Mkuu, sina details za kila kampuni. Hiyo $20-25K ni reference kutoka makampuni ya simu, na hiyo scale ya CEOs/MDs. Wafanyakazi wa kawaida ni akina nani :) ? Kama member mmoja alivyoshauri ni vema kujua mishahara kutokana na industry, na ngazi kwa makampuni hayo. Kwa mfano kwenye makampuni ya...
Mkuu, hiyo $40k ni kwa mwezi au kwa mwaks. Nafahamu kwamba wakurugenzi (CEOs, MDs) wanalipwa kati ya $20, 000 na $25, 000 kwa mwezi na wanalipiwa gharama nyingine kama shule za watoto, bima, club memberships, n.k.
Hiyo $40, 000 sidhani kama ni mshahara wa mwezi.
Katika documentary moja ya BBC, ilidaiwa kwamba jozi moja ya meno inanunuliwa kati ya dola 3000 mpaka 5000 kutoka kwa wauzaji/majangili wa nchini. Jozi hiyo ikisafirishwa na kufika China inauzwa kwa dola 25,000.
Msikilizeni Mandela mwenyewe alipofanya interview na BBC miaka michache iliyopita.
BBC News - Nelson Mandela death: In his own words. Click kwenye video.
CPA Results MAY 2013
CPA LIST MAY 2013
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/CPA%20List.pdf
Module F Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleF.pdf
Module E Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleE.pdf
Module D...
CPA Results MAY 2013
CPA LIST MAY 2013
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/CPA%20List.pdf
Module F Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleF.pdf
Module E Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleE.pdf
Module D...
CPA Results MAY 2013
CPA LIST MAY 2013
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/CPA%20List.pdf
Module F Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleF.pdf
Module E Results
http://www.nbaa-tz.org/examinations/results/may_exams/moduleE.pdf
Module D...
Engine hizi zinasumbua kwa mazingira ya kibongo kutokana na uhafiru wa ubora wa mafuta na ujuzi kidogo wa mafundi wetu tulionao. Ukinunua gari yenye engine 1AZ, siku ukitaka kuiuza utapata shida ya kupata mteja. Na hata kama ukimpata utauza kwa hasara.
Hii ni kutokana na uzoefu wangu binafsi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.