Mleta mada tuambie sehemu ambapo palishawahi kupigwa kura zikakosekana zilizoharibika. Hata ungewachukua maprofesa ukawambia wapige kura za kuharibika lazima ziwepo. Fanya kwanza uchunguzi kidogo nini chanzo cha kuharibika kwa kura kabla ya kuanza kumwaga lawama.
ZITO ameendelea kuthibitisha asivyojua vitu. Spika amepiga swali lake chini. Ni aibu kwa mmbunge kama Zito kutokuelewa kuwa wanachopitisha hapo bungeni ni makisio na sio kitu halali. Ni aibu kumuomba Waziri wa fedha ajikomit kuwa atawapa wizara ya mambo ya nje fedha yote waliomba. Kama mtu...
Unajihami na nani? We nadhani nchi hii haikufai nenda somalia utaishi kwa raha mustarehe. Hakuna mwenye akili timamu anayeomba vurugu ndani ya nchi yake. Jaribu kutumia muda wako angalau wa nusu saa kuangalia taarifa za habari uone kinachoendelea nchi zenye vurugu
Wahusika nadhani wametoka humu nadhani wakirudi watatupa majibu ya hizo hoja kama kweli wanajua wanachotaka kulifanyia taifa hili. Tuwasubiri warudi na majibu
Jitokezeni kwenye kutoa mawazo yenu kwenye tume ya katiba ili tuwe na kiwango cha elimu kwa wabunge wetu otherwise tutaendelea kutukana humu na haitasaidia kitu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.