Wana JF.
Miongoni mwa babari zilizogonga vichwa vya habari leo ni kuhusu umuhimu wa kupata idadi ya waumini wa dini mbalimbali katika sensa ijayo. Ingawa serikali na baadhi ya vingozi wanasema si muhimu kuwa na takwimu hizo lakini hivi ni kweli hazihitajiki? Kweli si vema kujua Tanzania kuna...
Du! Dactari wa sheria mh. Mw..ky..ebe kaingia wizarani kwa kasi na hata kwenye mkutano wa leo tumemwona na kumsikia lakini akumbuke kwa kasi hiyo ndani ya nyinyiem hatafika mbali.Wangapi wamekwama? Kama hajui akamwulize Lyt..nga. Labda aje huku CDM.
Hi! nanafurahi kuwa member wa jamii ya Wana-Jamii forums. Kama new member ninalazimika kujifunza mambo yanavyoenda hapa. Hata hivyo kwa muda mfupi ambao nimetembelea forum nimefurahia sana.
Big Up sana wana JAMII FORUMS.
Hi! nanafurahi kuwa member wa jamii ya Wana-Jamii forums. Kama new member ninalazimika kujifunza mambo yanavyoenda hapa. Hata hivyo kwa muda mfupi ambao nimetembelea forum nimefurahia sana.
Big Up sana wana JAMII FORUMS.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.