Wasalaam wanabodi. Natarajia kuwepo Arusha kikazi kwa wiki moja, Naomba kusaidiwa kujua ni Hoteli gani nzuri ambayo ipo eneo tulivu, ina parking na ambayo haipo mbali sana na City centre. Bajeti yangu ni 50,000-60,000. Natanguliza shukrani!
Napenda sana mdundo wa maana, ila sio mtaalam wa haya masuala ya music system. Sasa, Nataka kununua music system au subwoofer na bajeti yangu ni 500K naombeni ushauri ninunue wa aina gani kwa bajeti hiyo?
Samahani Mkuu. Ulifanikiwa kutumia gypsum board ngapi katika Site yako? Na gharama kwa moja inauzwaje? Naomba kufahamu maana na mimi natarajia kuzifunga sio muda mrefu na specification za nyumba yangu naona zinaendana kiasi na yako
Tumezoea kipindi hicho Hili jiji kwa bata lilikuwa balaa. Sasa hivi ukipita maeneo mengi ya Starehe Wajuba wanagongea Konyagi au K Vant tu.
Unakuta Bapa moja linapigwa na watu zaidi ya watano. Kipindi hicho nakumbuka, tulikuwa tukishuhudia mtu akichafua meza kwa Vinywaji vya kila aina tena vya...
superbug,
Bora wewe mkuu uko addicted na kulamba maziwa ya unga. Wenzako wako 40+ bado wako addicted na nyeto na wameoa na watoto juu. The struggle is real!!!
Mkuu usiseme tu Jimbo katololiki la Dsm. Sema Jimbo KUU katoliki la Dsm. Nafikiri kuna utofauti Mkubwa kati ya Jimbo na Jimbo Kuu kwa imani ya Kikristo ya Kikatoliki. Niko tayari kurekebishwa.
Nilikuwa na miadi ya kukutana na manzi wangu tulikuwa maeneo tofauti ni safari kutoka Mkoa A kwenda Mkoa B kilometa kama 250 hivi mwendo wa masaa manne!
Sasa baada tu ya kupanda zangu costa, kwenye siti niliyokaa akaja kukaa kadada fulani black beauty kana kama 20 yrs hivi.
Wakati safari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.