Mazungumzo ya amani pamoja na vielelezo tangu enzi za mjerumani na mwingereza ndivyo vitakavyoamua lakini sio vitisho:
Kama ni vitisho wakamuulize NDULI, IDD AMIN dada!
Teh teh teh hivi ni kwa nini walimuita dada?
Hii ndo siasa ya Tanzania? Ccm mmeshajua kuwa 2015 hampo tena madarakani na hamtasikika tena ktk anga la siasa! Kama ni kweli ccm ndo waliofanya hayo mauaji, laani i juu yenu bora muanze kula sasa hivi maana hamtaviona tena. INAUMA SANA! I hate Politics
Sheria ichukue mkondo wake, Ni unyama ulioje! Watanzania tunaelekea wapi? hata kama sio siasa huu sio ubinadamu hata kidogo; damu yake na iwe juu ya vichwa vyenu popote muendapo na kibali kiondoke juu yenu kwa kila mtu aliye mbele yenu au nyuma yenu kama ilivyokuwa kwa Kaini! Mtaishia kuwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.