Hakuna kitu kinachoniuma kama hili swala! Tukumbuke kuwa 180 siokwamba unaondokanayo yote,inapaswa kukatwa;
10% penshen=18000
11% kodi zingine kama VAT n.k=19800
jumla makato ni=37800
ukitoa kwa 180000 inabaki 142200 kama take home! Hapa ameongezewa kiwango cha kukatwa kodi tu na sio...
Hoooo! God......!! Tunusuru nahilijanga maana naona sasa nchi inauzwa kimyakimya! Hii inakokwenda hapaeleweki,mi naona watu wamemuweka Mungu kando yatupasa kufunga na kusali sana!
Jamii nzima inapaswa kufumbua macho na kutoka ktk usingizi mzito ulio tugubika! Inatupasa tupingane na usingizi huo uliojaa ufisadi na kufungua ukurasa mpya wa mapinduzi kwa vijana,kwani wimbo wa wazee wetu walioimba kuwa vijana taifa lakesho,ndio sisi kwani siku imefika yakuwaonesha kuwa jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.