UDSM hatuna watu kama ww! ww unaonesha hata O-Level hujamaliza.. alaf sio lazima uandike kiingereza ili uonekane msomi maana kila ulipoandika kiingereza umekosea! Jikubali na kubali mahali ulipo.. UDSM sio peponi ni chuo kama vyuo vingne jitihada zako tu ndizo zitakupeleka hapo! Soma
Sap na Disco zipo nyingi kwa sabab chuo hakitak mchezo kinataka wanafunz wanaojituma na wanaojitambua na wanaoweza kukiwakilisha chuo vyema wawapo nje ya chuo.. wanafunz weng wa ckuiz tunafany mchezo na chuo na ndio maana haya yanatokea! Binafsi sioni tatizo hapo zaidi zaidi naona wewe unataka...
1. Ni SOCIOLOGY and not SOCIALOGY.
2. Nina waswas kidogo na ulichokiandika kama ni ukwel kwa7b hakuna mwanafunz anaejielewa akaulizia kuhusu ajira akiwa mwaka wa mwisho wa masomo na kama ni kweli basi kaka yako sio mfano wa kuigwa..
3. Ushindani wa ajira ni mgumu kidogo unaposoma course hyo...
African Music Magazine Awards (AFRIMA) imetoa nominees wanaowania tuzo mbalimbali barani Africa! Kwa upande wa Tanzania wasanii waliochaguliwa ni pamoja na Diamond Platnumz (5 categories), Lady J-Dee (1), Mpoto (1) , Ben Paul (1) na Shedy clever (1).
piga kura kupitia link hii...
Mnapoambiwa msome UDSM mnajifanya wabishi.. mtapga pasi ndefu mpaka mkome.. mgomo huanzia Mlimani ndio vyuo vngne vnafuata na kwa kugundua hilo HESLB wakawaisha mapemaa boom kwa wanachuo wa UDSM ili kukwepa mgomo! Poleni sana kwa kweli
hebu tumia akili wewe, usilete uchama kwenye majanga ya kitaifa. Ndo nyie mnaochochea mgawanyiko wa watu kichama, kwaiyo ulivyosema hivyo unataka ccm ndo waende kutatua hilo tatizo? Ukiambiwa mabadiliko yanaanzia kwako ni katika maendeleo kwa ujumla sio katika kisiasa tu? Mnaturudisha nyuma na...
Jaman nyie watu wa udom msiwe mnaropoka, UDSM na udom haviwezi kulingana wala hatuwezi kuwa wapinzani,, umeona wapi habari za kimataifa zikasomwa pamoja na za kata.
Kukubali ukweli ni busara pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.