IGP Sirro ameapa kuwauwa kwa risasi na wenyewe wameapa kuwa hawamtaki kiongozi wa ccm! Sasa KIUMANE Ukishakuwa na urafiki na Rwanda au Burundi lazima uuwe watu wako kwa risasi!
Wewe nu muongo na umetumia nguvu nyingi kuwadanganya watu! Ngoja tukueleze ukweli: Wakati msafara wa Lissu ulipofika Kisorya saa 3.00 asubuhi kivuko kilikuwa Ukerewe na DC Magembe alikizuia kuja Kisorya "Eti ni Kibovu" na ilipofika saa 5.20 asb wapenda UHURU wakajitolewa kuwavusha kwa Mtumbwi wa...
Kama asingekuwa mtu maalum ccm isingemhofia hivyo! Amefukuzwa juzi, zilipopita siku mbili Katibu Mkuu wa ccm akamkaribisha tena arejee. Kama asingekuwa chochote ccm wasingekuwa wanamzungumzia. By now he is a strong subject of discussion
Kwanini usijiulize kwanini watu wengi wanampongeza Pro. Assad au kwanini watu wengi waamini yasemwayo na Zitto Kabwe zaidi ya Magufuli? Kwanini usijiulize eeh? Zitto hana serikali na hawezi kuwateua kwenye nyadhifa zozote lakini wanamkubali; WHY? Can't you ask yourself man?
Nani ataisimamia halmashauri ya wilaya ya Magu na kuwatiisha watumishi? Madiwani wako hoi na mbunge yuko busy na biashara ya kuuza mafuta! Magu ni wilaya kongwe iliyovurugwa na wenyeji, kwahivyo watumishi wanatumia nafasi zao kujipigia watakavyo.
Waziri mdogo wa kilimo amelishikia bango hoja ya kutaka vyama vya ushirika viongozwe na wakulima tu na sio vinginevyo!
Nataka kumkumbusha Bashe kuwa kuna ushirika wa wavuvi, wafugaji, mafundi, saccos nk . Unamaanisha kuwa hao wavuvi wawatafute wakulima ndio wawaongoze? na wafugaji je? Umekuja...
Hii kauli naona inajirudia kila siku, inaonekana huyo waziri anataka KIKI..! Swali la kujiuliza ni kweli Ushirika ni wa wakulima tu? Hivi hakuna ushirika wa wavuvi? Hakuna ushirika wa wafugaji? Hakuna ushirika wa mafundi? Saccos nazo si Ushirika? Nao waongozwe na wakulima? Binafsi simuelewi Bashe
We feel the pitch the same way! Maumivu ni yale yale kwa wote; kilichobaki ni kila mtu kuangalia atakachokula leo na kesho. Siasa zimekwisha umebaki ubabe. Na hata hao walio madarakani wanatukanwa kila siku "MPUMBAVU". Heri wewe mkulima kijijini hakuna mtu amewahi kukutukana hivyo.....
CHADEMA watafanyaje chaguzi wakati vikao na mikutano yao inazuiliwa na polisi? Huyo Msajili sidhani kama ana akili timamu! Viongopzi wote wa CHADEMA wanashindia mahakamani na kila wakitaka kufanya vikao vinazuiliwa sasa hizo chaguzi zitafanyikia hewani? This is bullshit!
JOB OPPORTUNITY – Accountant
Isamilo International School, Mwanza seeks an experienced Accountant who will be responsible for managing all school accounts. He/she will maintain accounting controls, preparing and recommending policies and procedures and report to the Operations Manager and Head...
JOB OPPORTUNITY - Business Operations Manager
Isamilo International School, Mwanza seeks an experienced Business Operations Manager who will be responsible for managing all administrative aspects of school. He/she will maintain excellent stakeholder, vendor, and government relationships and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.