Haya mapolisi ni viumbe wa ajabu sana. Yaani jitu zima linasema eti kipindux2! KipinduX2 kitawapata waombolezaji tu? Hao mapolisi hawawezi ambukizwa? Mxxxiiiiew
Ccm wana midomo michafu sana safari kwa vile wanajua mwisho wao umewadia. Wanaochochea machafuko ni team ya kampeni ya magufuli kwa maneno yao ya kejeli na matusi, ukiwasikiliza hasira napanda sana hasa pale dola na tume ya uchaguzi inapoyanyamazia.
Wewe ni wale wale wenye hangover ya chama kimoja. Wanavyosema wazungu, bad habits die hard! Mapenzi yako kwa mgombea wa CCM ni dhahiri na nisingeshangaa ungeandika hivyo hivyo kwa mgombea mwingine yeyote wa CCM mbali na huyo 'I am a politians'! Wewe unajua fika kilchoendelea Dodoma wakati...
Ndio maana ya kuandika hapa ni pesa tu. Point yangu hapa ni tangazo lenyewe, magufuli akiwa India Rais ndio atawaruhusu mama ntilie wafanye biashara kokote bila kuzingatia sheria?
Jana baada ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku, liliwekwa tangazo limoja la mgambo kuwashughulikia mama ntilie, tangazo hilo lilimalizika kwa dada mmoja kusema 'ngojeeni Magufuli akija!' CCM wameshai contaminate ITV, hapa ni pesa tu!
Pesa nyingi zimemwagwa Arusha na CCM za kuhonga ili madiwani na mbunge washinde Arusha. Bendera zao kwenye kila mtaa wa jiji ni wanajaribu kuonyesha kwamba CCM bado iko hai. Kusema la ukweli watu hapa A-City wameichoka CCM, hata waweke bendera zao mpaka mlima Kilimanjaro wanajisumbua tu. Lema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.