Faida ya kuoana ni pamoja na kuunganisha familia za pande mbili za upande wa mwanaume na mwanamke; Hii ina maana kwamba mnaongeza wigo wa kusaidiana katika kazi na maisha kwa ujumla. aidha, ni aibu katika maisha kuingia katika talaka, bali ni hekima kujifunza namna ya kufanya ili uendelee...
[Siyo wote ]Binafsi huwa naona ni bora kijana kuoa hapa hapa mjini kama amepata wife material. Hawa wa mjini wamekutana na mengi na wanazijua changamoto za mijini na wamezizoea. Uzoefu unaonyesha, wale wa vijijini wakifika mjini na kukengeuka kitabia, hali zao huwa mbaya zaidi kuliko hata hao wa...
walimu ni wasikivu na wenge wao si wapenda makuu lakini tukumbuke walimu wengi wanatoka kwenye familia za kipato cha kawaida sana au duni hivyo wanaweza kuishi maisha yoyote yale na popote pale. Tofauti na kada zingine ambazo wadada wengi kwanza huchagua kazi na sehemu za kuishi, utasikia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.