TAARIFAKWA VYOMBO VYA HABARI
Salaam za X-Mas na Mwaka Mpya za Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema)
Waraka mahususi kwaviongozi wa dini wa Tanzania:
Kuweni macho nawanasiasa wenzangu
Ndugu Wanahabari,
Kwa nafasi yangu kamaraia, Mbunge ninayewakilisha wananchi wa...
Kwa kuwa nimetambua kuwa wewe umejiweka kwenye sehemu ya kushauli ila wewe hutaki kushauriwa, kukosoa ila hutaki kukosolewa.na kwa mtazamo wako naona unaona kwa kuwa mimi ni kiongozi basi mimi siruhusiwi kushauri au kutetea yale ninayoamini.
Mimi sio mwumini wa siasa nyepesi nyepesi, nivizuri...
Nashukuru kwa maoni yako,ambayo nayapokea kwa mikono miwili, asante sana kukosoa na kukosalewa ni sehemu ya maisha ya mtu mstarabu INGAWA SIJUI NI WAPI NIMEONYESHA JAZBA,
HOJA YANGU HUJAIJIBU. KUHUSU MTAZAMO HUO WA BOTHA,KWAMBA HUKUANZA NAO WEWE HILO TU!
SIONI SABABU YA KUINGIZA SWALA LA DR SLAA...
Ni hivi juzi umenikandia sana kuwa mimi sifai kuwa mbunge na ukajaribu kutoa sababu zako,ambayo kimsingi ni haki yako, kinacho nishangaza leo kwa nini hutaki kuwa mkweli na muwazi kwani HOJA YA KABURU BOTHA NIMEANZISHA MIMI KATIKA KONGAMANO LA MWL NYERERE PALE RUCO IRINGA MJINI, NILICHANGIA NA...
Just a small observation on the comment given on CHADEMA shadow cabinet, I can assure you that, the shadow cabinet was properly picked,considering experience and even academic qualifications.
Don't expect that we can have a shadow foreign affairs minister who is a half academically baked, I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.