Kamtumia salamu Home Shopping Centre leo ikulu mkutano na wafanya biashara naomba kunukuu..
"Nchi hii imejaaliwa kila kitu na kwasababu hio baadhi ya wafanyabiashara sasa wamekua na tabia ya kukwepa hata kulipa kodi ninafahamu mchezo mwingine ambao umekua ukifanyika wafanyabiashara wengine...
Wananikera sana watu huku wako onfire wanasubiri tamko hawa watu wanalega lega tu Mbowe sio kamanda tuliemzoea amekua weak sana atoe tamko kesho tuanze kuitafuta haki
Hivi Mbowe naomba nikuulize unasubiri Magufuli aapishwe ndo uwaambie watu waingie barabarani kama tunaingia road huu ndo muda hivi mnasubiri nn ni wakati wa nguvu ya umma
Upinzani Siku Zote Huwa Wakishindwa Chaguzi Hawana Tatizo, Wanakubali Matokeo na Wanakuja Kumpongeza Rais Wa Chama Tawala Wakati Wa Kuapishwa Kwake Na Maisha Huendelea Tena Kwa Amani Kubwa tu.
Swali Ninalojiuliza Ni Kuwa
Je Ikitokea Upinzani Ukashinda, Je Hao Chama tawala Watakubali Kutoka...
Ni kubwa Mno Mpaka Naanza Kuogopa Leo Mapema Asubuhi Mtaa Wa Samora Nikielekea Kibaruani Nimekutana Na Mtu Anatembea Kwa Kasi Huku Anaongea Peke Ake Huku Akilaani Nanukuu "Mwaka Huu CCM Lazima Waondoke......" Huku Akitoa Matusi Kama Kichaa.
Mind You Alikua Anaongea Peke Ake Huku Anatembea...
We unamtafuta Gwajima ns utampata sema we sio size yake atakupuuza tu hao waliokutuma watackitika sana akikujibu utajuta kua mwanaume unatumika kama hawala
Jambo kubwa wana wa ugambani wanashindwa kutambua ni kwamba Ukawa sio ya Mbowe sio ya Mbatia sio ya Lowassa wala ya sio ya kiongozi yoyote ndani ya Ukawa hii ni mali ya wananchi waliochoka udhalimu wa CCM na wanaotaka mabadiliko hata CCM wawanunue viongozi wote wa juu wa Ukawa hata wakimnunua...
Kwanini lakini wanatuchokoza hivi siku tukichoka hii nchi haitakalika naomba tu ICC wawe wanaangalia hivi viashiria vidogo vidogo vinavyotupeleka kwenye machafuko
Leo chekelea unaona raha leo mkipita mtaani na jezi zenu mnazomewa tu yanaisha baada ya trh 25 wakichakachua itakua sio kuzomea tena itakua mnakula kipigo na hapo ndipo utakumbuka hii siku kushabikia ujinga
Kusingizia refa anapendelea haya maneno ameyasema alipoulizwa na mwandishi wa habari kuhusu jeshi la polisi kumzuia kipenzi cha wengi mgombea urais kupitia Ukawa Lwegainani Lowassa kuzuiwa kufanya ziara zake.
Anamaanisha nini kusema Ukawa ni timu Ilioshindwa ilihali hata October 25 bado...
Upepo wa kisiasa na hali inavyoonekana kuna uwezekano mkubwa Ukawa wakachukua nchi OCtober 25 lakini kuna watanzania wengi bado wana wasiwasi sana na uwezo wa Ukawa kuongoza taifa hili iwapo watapewa nafasi especially issue ya raslimali watu wenye uwezo na nia ya dhati ya kutumikia taifa letu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.